Jumatatu, 17 Machi 2014
MAMIA WAMZIKA MAMA WA MSANII MAARUFU KATIKA FILAMU YA SIRI YA MTUNGI LEO JIJINI DAR, PICHA 40 ZA MATUKIO YA MSIBANI HIZI HAPA
Daudi Michael ( Duma ) kushoto mwenye suti nyeusi msanii maarufu aliyefunika katika Filamu iitwayo SIRI YA MTUNGI leo amemzika mama yake mzazi baada ya kumuuguza kwa
mda mrefu kidogo hatimaye kufariki dunia jana.
mda mrefu kidogo hatimaye kufariki dunia jana.
Kushoto ni Msanii aliyefiwa na mama yake mzazi, Hapo pichani amekumbatiana na msanii mwenzie maarufu kutoka bongo movie's Shija katika hali ya kuliwazana kusahau yaliopita maana yote ni mipango ya mungu haipingiki hata kidogo..
Mtu wa karibu wa msanii huyo aliyeondokewa na mama yake mzazi aliiambia Website ya Masai Nyotambofu wasanii walionyesha ushirikiano wa hali ya juu kwa kuhudhuria katika msiba huo na huo ndio mfano mzuri kwa wasanii tupendane wakati wa raha na wakati wa matatizo pia. M/mungu ailaze roho ya marehemu mahala pema peponi.
Kupa, Kitale Teja na Mkono wa mkonole wakiwa katika hali ya majonzi kufuatia msiba huo..






Majanja, Kupa na Shija..

Majanja akipiga menyu









Mwili wa marehemu ukiwa kwenye gari tayari kupelekwa makaburini kuhifadhiwa..
Hapo ndipo alipolala l
MUIGIZAJI ALIYE BAKWA AFUNGUKA

Stori: Sifael Paul na Gladness Mallya
MAMBO hadharani! Staa wa sinema za Kibongo, Tamrina Mohamed Poshi ‘Amanda’ ameanika ukweli juu ya skendo iliyoenea kama moto wa kifuu kuwa amebakwa jijini Arusha.
Staa wa sinema za Kibongo, Tamrina Mohamed Poshi ‘Amanda’.
Awali, Risasi Jumamosi lilipokea skendo hiyo kutoka kwa vyanzo vyake ambapo ilidaiwa kwamba Amanda alifanyiwa ‘unyambilisi’ huo baada ya kudanganywa kuwa anakwenda kucheza filamu ya ‘madogo’ fulani wa jijini humo.
“Mwanzoni nasikia walihitilafiana kwenye malipo. Amanda alitaka Sh. milioni 2 lakini baadaye walikubaliana laki 8.

...Tamrina Mohamed Poshi ‘Amanda’.
“Kweli Amanda alipofika Arusha alipokelewa vizuri na kupelekwa hotelini.
“Nasikia baadaye wale jamaa walimuibukia hotelini wakiwa watatu wakamtisha na kumbaka kisha wakaingia mitini. Kuna kipindi magazeti yaliandika anaumwa,” kilidai chanzo chetu na kuingia mitini.
Baada ya mzigo huo kutua kwenye Dawati la Risasi Jumamosi, Amanda aliwekwa ‘mtu kati’ ndipo akaeleza anachokijua juu ya sakata hilo.
Amanda: “Huo ni uzushi uliotengenezwa na kijana aliyenipigia simu akaniomba nikacheze filamu yake lakini tulishindwa kuelewana.
“Walitaka nikacheze sehemu ya mhusika nkuu kwa laki 4 lakini niliwakatalia nikaawambia wafanye Sh. milioni 2.

Awali, Risasi Jumamosi lilipokea skendo hiyo kutoka kwa vyanzo vyake ambapo ilidaiwa kwamba Amanda alifanyiwa ‘unyambilisi’ huo baada ya kudanganywa kuwa anakwenda kucheza filamu ya ‘madogo’ fulani wa jijini humo.
“Mwanzoni nasikia walihitilafiana kwenye malipo. Amanda alitaka Sh. milioni 2 lakini baadaye walikubaliana laki 8.
...Tamrina Mohamed Poshi ‘Amanda’.
“Kweli Amanda alipofika Arusha alipokelewa vizuri na kupelekwa hotelini.
“Nasikia baadaye wale jamaa walimuibukia hotelini wakiwa watatu wakamtisha na kumbaka kisha wakaingia mitini. Kuna kipindi magazeti yaliandika anaumwa,” kilidai chanzo chetu na kuingia mitini.
Baada ya mzigo huo kutua kwenye Dawati la Risasi Jumamosi, Amanda aliwekwa ‘mtu kati’ ndipo akaeleza anachokijua juu ya sakata hilo.
Amanda: “Huo ni uzushi uliotengenezwa na kijana aliyenipigia simu akaniomba nikacheze filamu yake lakini tulishindwa kuelewana.
“Walitaka nikacheze sehemu ya mhusika nkuu kwa laki 4 lakini niliwakatalia nikaawambia wafanye Sh. milioni 2.
“Walilalama sana wakidai ndiyo kwanza wanaanza hivyo wangeomba angalau nicheze vipande vichache. Tulivutana hadi nikafika Sh. laki 8 lakini walishindwa na kudai kuwa najiona niko juu hivyo nitaona.
“Hata kwenye ukurasa wangu wa Facebook, huyo jamaa amekuwa akinichafua. Ukweli ni kwamba sijawahi hata kuonana naye.
“(huku akimpigia simu mama na baba yake) mara yangu ya mwisho kwenda Arusha ilikuwa mwaka 2008. Kama hamuamini muulizeni mama na baba yangu. Sijawahi kubakwa katika maisha yangu.”
“Hata kwenye ukurasa wangu wa Facebook, huyo jamaa amekuwa akinichafua. Ukweli ni kwamba sijawahi hata kuonana naye.
“(huku akimpigia simu mama na baba yake) mara yangu ya mwisho kwenda Arusha ilikuwa mwaka 2008. Kama hamuamini muulizeni mama na baba yangu. Sijawahi kubakwa katika maisha yangu.”
RIDHIWAN KIKWETE KWENYE KAMPENI ZAKE CHALINZE

''Mtoto mzuri naomba kofiaeeee...



Mgombea Ubunge katika Uchaguzi Mdogo wa Jimbo la Chalinze,Ridhiwani Jakaya Kikwete akitoa hotuba yake kwa wakazi wa Kijiji cha Miono,Wilayani Bagamoyo leo Machi 15,2014,ikiwa ni sehemu ya muendelezo wa Mikutano ya Kampeni zake za Uchaguzi huo mdogo wa Jimbo la Chalinze unaotarajiwa kufanyika Aprili 6,2014.Picha zote na Othman Michuzi.

Mgombea Ubunge katika Uchaguzi Mdogo wa Jimbo la Chalinze,Ridhiwani Jakaya Kikwete pamoja na Meneja wa Kampeni za Uchaguzi Mdogo wa Jimbo la Chalinze,Steven Kazidi wakiwa na Mama wa Mbunge wa Zamani wa Jimbo la Chalinze (aliefariki Dunia),Marehemu Said Bwanamdogo wakati walipofika kumjulia hali nyumbani kwake Kijijini Miono,Bagamoyo leo Machi 15,2014.

Meneja wa Kampeni katika Uchaguzi Mdogo wa Jimbo la Chalinze (CCM),Steven Kazidi akisisitiza jambo wakati wa Mkutano wa Kumpigia debe Mgombea Ubunge katika Jimbo hilo,Ridhiwani Jakaya Kikwete (hayupo pichani),uliofanyika leo Machi 15,2014 kwenye Kijiji cha Kimange.

"Kinamama huko,inamaana hakuna vigelegeleeeee .....???" hivyo ndivyo alivyokuwa akiuliza Diwani wa Kata ya Kimange,Hussein Hading'oka (pichani) wakati alipokuwa akimwaga sifa kede kede kwa Mgombea Ubunge wa Jimbo la Chalinze,Ridhiwani Jakaya Kikwete.


Mgombea Ubunge katika Uchaguzi Mdogo wa Jimbo la Chalinze,Ridhiwani Jakaya Kikwete akiwapungia mkono wananchi wa Kijiji cha Kimange,Kata ya Kimange,Wilayani Bagamoyo leo Machi 15,2014, wakati akiwasili kwa ajili ya Mkutano wa Kampeni zake za Uchaguzi huo mdogo unaotarajiwa kufanyika Aprili 6,2014.Picha zote na Othman Michuzi.

Meneja wa Kampeni katika Uchaguzi Mdogo wa Jimbo la Chalinze (CCM),Steven Kazidi (kulia) akizungumza jambo na Mgombea Ubunge wa Jimbo la Chalinze,Ridhiwani Jakaya Kikwete kabla ya kumpatia kipaza sauti ili aweze kuzungumza na wanakijiji wa Kimange.



Mgombea Ubunge katika Uchaguzi Mdogo wa Jimbo la Chalinze,Ridhiwani Jakaya Kikwete akiwahutubia wananchi wa Kijiji cha Kimange,Kata ya Kimange Wilayani Bagamoyo leo Machi 15,2014,wakati wa Mkutano wa Kampeni zake za Uchaguzi huo mdogo wa Jimbo hilo unaotarajiwa kufanyika Aprili 6,2014.

Mgombea Ubunge katika Uchaguzi Mdogo wa Jimbo la Chalinze,Ridhiwani Jakaya Kikwete akijumuika pamoja na wanakijiji wa Miono,Wilayani Bagamoyo kwenye dua maalum ya kumuomba Mwenyezi Mungu ajaalie mafanikio mema katika kumuongoza Mgombea Ubunge huyo kwenye mwendelezo wa Kampeni zake.

wakiwa wamesimama kwa dakika moja kumkumbuka aliekuwa Mbunge wa Jimbo la Chalinze,Marehemu Said Bwanamdogo.

"Kijana wetu wewe ndie tunaekutaka,na amini utashinda kwa kishindo" ndivyo alivyosikika mama huyu akimwambia Mgombea Ubunge Jimbo la Chalinze,Ridhiwani Jakaya Kikwete.

Mkutano kwa siku ya leo ulimalizikia katika Kijiji cha Mbwewe,Pichani ni Mgombea Ubunge Jimbo la Chalinze akipita katikati ya vijana wa chipukizi wakati akiwasili kwenye Kijiji hicho.

Mgombea Ubunge Jimbo la Chalinze,Ridhiwani Jakaya Kikwete (kulia) akifurahia baada ya kupewa maneno ya kuvutia kutoka kwa vijana wa chipukizi.
Jisajili kwenye:
Machapisho (Atom)