Jumatatu, 17 Machi 2014

MAMIA WAMZIKA MAMA WA MSANII MAARUFU KATIKA FILAMU YA SIRI YA MTUNGI LEO JIJINI DAR, PICHA 40 ZA MATUKIO YA MSIBANI HIZI HAPA

Daudi Michael ( Duma )  kushoto mwenye suti nyeusi msanii maarufu aliyefunika katika Filamu iitwayo SIRI YA MTUNGI leo amemzika mama yake mzazi baada ya kumuuguza kwa
mda mrefu kidogo hatimaye kufariki dunia jana.
Kushoto ni Msanii aliyefiwa na mama yake mzazi, Hapo pichani amekumbatiana na msanii mwenzie maarufu kutoka bongo movie's Shija katika hali ya kuliwazana kusahau yaliopita maana yote ni mipango ya mungu haipingiki hata kidogo..

Mtu wa karibu wa msanii huyo aliyeondokewa na mama yake mzazi aliiambia Website ya Masai Nyotambofu wasanii walionyesha ushirikiano wa hali ya juu kwa kuhudhuria katika msiba huo na huo ndio mfano mzuri kwa wasanii tupendane wakati wa raha na wakati wa matatizo pia. M/mungu ailaze roho ya marehemu mahala pema peponi.
Kupa, Kitale Teja na Mkono wa mkonole wakiwa katika hali ya majonzi kufuatia msiba huo..


Mwanadada Sheri Mwana kushoto anaumwa lakini alihudhuria msiba huo.


Shija akiwa makaburini..




Taswira ya msibani nyumbani kwa kina Daudi Michael ( Duma ).








Majanja, Kupa na Shija..


Majanja akipiga menyu










Mwili wa marehemu ukiwa kwenye gari tayari kupelekwa makaburini kuhifadhiwa..



Baadhi ya wasanii wakiwa makaburini katika hali ya majozi


Mchaga akiuzunika hapo..





Msanii mkongwe 'Mtitu' akitoa maelekezo ya ratiba ya mazishi.

Hapo ndipo alipolala l

Hakuna maoni:

Chapisha Maoni