Nasikitika kuwatangazia wananchi wote wa Tunduma kuwa tumempoteza ndungu yetu mzee zanji tarehe 02.06.2013 mchana akiwa nyumbani kwake MPEMBA na tunategemea kumzika mzee huyo tarehe 04.06.2013 kijijini chapwa katika makaburi ya ukoo huo ya sichela.Poleni ndugu,jamaa na marafiki wa familia na ukoo kwa ujumla wa SICHELA . MUNGU ALITOA NA MUNGU AMETWAA JINA LA BWANA LIHIMIDIWE AMEEN
Hakuna maoni:
Chapisha Maoni