Ijumaa, 7 Juni 2013

ZOEZI LA KUTAHIRIWA TUNDUMA

Wananchi wote wa tunduma hususani wale ambao bado hawajatahiriwa mnatakiwa muende katika kituo cha afya tunduma kwa ajili ya kupata huduma hiyo(serikalini) huduma hii ni bure bila malipo yoyote TOHARA HUPUNGUZA MAAMBUKIZI YA VIRUSI VYA UKIMWI KWA 90%.

Hakuna maoni:

Chapisha Maoni