WE DEAL WITH ENTERTAINMENTS, MUSICS, NEWS, SPORTS AND ANNOUNCEMENTS
Ijumaa, 22 Novemba 2013
P.SQUARE KWA STAGE
Mrembo aliyetunukiwa na Peter akiwa jukwaani baada ya kuitwa na kujitokeza.
....akinyoosha mkono.
...akivishwa saa ya bei mbaya na Peter, ambaye alisema ameoa Nigeria wiki iliyopita na Bongo anaoa pia.....
....sogea nikubusu my 'Beautiful Onyinye....!
....mmmwaaaa!!!
....ni kama anamnong’oneza ‘jamani Peter wewe si unanitafutia balaa na mkeo’....hahahahaha!!!
....this is my beautiful Onyinye oooo!!
".....oooo 'tank' you 'tank' you my Onyinye......!!"
.....Mr. P is getting back to business now, lol!!
Paul akiimba kwa hisia kali!
...o!o!o!o!, this guy yooo, is crying oohhh!!!
.......jukwaa lilikuwa lao, walilitawala walivyotaka!
...hapa kazi ni kazi tu!
....warembo wengi walipagawa na mengi, ikiwemo bodi ya Mr. P!!!
Oooooh, mambo ya Diaomond haya sasa!!! Paul akivua suruali!
...ilikuwa ni shoo Live ya ukweli!
Peter na Paul Okoye 'wakilivamia' kiukweli jukwaa la Leaders.
Mashabiki wakipagawa na shoo ya P-Square.
......baada ya shoo kali ya masaa matatu, sasa inatosha Dar es Salaam... asante sana...’tank yo! tank yo’!!!
WEUSI ON STAGE...
Joh Makini akilitawala jukwaa.
Nikki wa Pili (kushoto) na G Nako wakifanya yao stejini.
Kundi la Weusi likiongozwa na Joh Makini likishambulia jukwaa la Leaders Club kabla P-Square hawajapanda usiku huu.
PROFESSOR JAY ON STAGE.....
Mwanamuziki Joseph Haule 'Profesa Jay' akiwapagawisha vilivyo mashabiki waliohudhuria shoo ya P-Square Live in Dar ndani ya Viwanja vya Leaders Club vilivyopo Kinondoni jijini Dar.
Nyomi HAPO JUU baada ya kuikubali vilivyo shoo ya Profesa Jay.
LADY JAYDEE ON STAGE...
Mwanamuziki Judith Wambura 'Lady Jaydee' au 'Anaconda' akiwapagawisha mashabiki wake waliohudhuria katika Viwanja vya Leaders Club usiku huu katika shoo ya wakali P-Square.
Watu... Jideeeeeeeeeeee...
Machozi Band nao walikuwepo kumback up Jide.
R&B SINGER, BEN POL ON STAGE...
Mwanamuziki Ben Pol akiwasha moto katika steji ndani ya Viwanja vya Leaders katika shoo ya P-Square Live in Dar.
Hakuna maoni:
Chapisha Maoni